Deuteronomy 17:5 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
basi, mtoeni mtu huyo nje ya miji na kumpiga mawe mpaka afe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
mchukueni huyo mwanaume au mwanamke ambaye amelifanya tendo hili ovu kwenye lango la mji wenu na kumpiga mawe mtu huyo hadi afe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ndipo umchukue nje malangoni kwako, yule mtu mume, au yule mwanamke, aliyefanya jambo lile ovu; ukawapige kwa mawe, wafe.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
basi, mtoeni mtu huyo nje ya miji na kumpiga mawe mpaka afe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
mchukueni huyo mwanaume au mwanamke ambaye amelifanya tendo hili ovu kwenye lango la mji wenu na kumpiga mawe mtu huyo mpaka afe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
mchukueni huyo mwanaume au mwanamke ambaye amelifanya tendo hili ovu kwenye lango la mji wenu na kumpiga mawe mtu huyo mpaka afe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ndipo umchukue nje malangoni kwako, yule mtu mume, au yule mwanamke, aliyefanya jambo lile ovu; ukawapige kwa mawe, wafe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
basi, mtoeni mtu huyo nje ya miji na kumpiga mawe mpaka afe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
huna budi kumtoa malangoni pako huyo mtu mume au mke aliyelifanya hilo neno baya, kisha sharti mmpige mawe huyo mtu mume au mke, hata afe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ndipo umchukue nje malangoni kwako, yule mtu mume, au yule mwanamke, aliyefanya jambo lile ovu; ukawapige kwa mawe, wafe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
basi, mumupeleke mutu huyo inje ya miji na kumupiga mawe mpaka akufe.