Deuteronomy 19:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
waamuzi watachungua kwa uangalifu kesi hiyo na ikiwa mshahidi ni mshahidi wa uongo na amemshtaki mwenzake kwa uongo,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Waamuzi lazima wafanye uchunguzi kwa makini na shahidi akionekana kuwa ni mwongo, akitoa ushuhuda wa uongo dhidi ya ndugu yake,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
nao waamuzi na watafute kwa bidii; na tazama, yule shahidi akiwa shahidi wa uongo, naye ametoa ushahidi wa uongo juu ya nduguye;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
waamuzi watachungua kwa uangalifu kesi hiyo na ikiwa mshahidi ni mshahidi wa uongo na amemshtaki mwenzake kwa uongo,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Waamuzi lazima wafanye uchunguzi kwa makini na shahidi akionekana kuwa ni mwongo, akitoa ushuhuda wa uongo dhidi ya ndugu yake,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Waamuzi lazima wafanye uchunguzi kwa makini na shahidi akionekana kuwa ni mwongo, akitoa ushuhuda wa uongo dhidi ya ndugu yake,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
nao waamuzi na watafute kwa bidii; na tazama, yule shahidi akiwa shahidi wa uongo, naye ametoa ushahidi wa uongo juu ya nduguye;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
waamuzi watachungua kwa uangalifu kesi hiyo na ikiwa mshahidi ni mshahidi wa uongo na amemshtaki mwenzake kwa uongo,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
nao waamuzi na watafute vema sana iliyo kweli. Nao watakapoona, ya kama yule shahidi ni shahidi wa uwongo, naye alitaka kumkorofisha ndugu yake kwa uwongo,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
nao waamuzi na watafute kwa bidii; na tazama, yule shahidi akiwa shahidi wa uongo, naye ametoa ushahidi wa uongo juu ya nduguye;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Waamuzi watachunguza kwa uangalifu maneno hayo na ikiwa mushuhuda ni mushuhuda wa uongo na amemushitaki mwenzake kwa uongo,