Deuteronomy 2:6 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mkitaka chakula au maji kutoka kwao, lazima mnunue.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtawalipa fedha kwa chakula mtakachokula na maji mtakayokunywa.’ ”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nunueni vyakula kwao kwa fedha, mpate kula; na maji nayo nunueni kwao kwa fedha, mpate kunywa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mkitaka chakula au maji kutoka kwao, lazima mnunue.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtawalipa fedha kwa chakula mtakachokula na maji mtakayokunywa.’ ”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtawalipa fedha kwa chakula mtakachokula na maji mtakayokunywa.’ ”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nunueni vyakula kwao kwa fedha, mpate kula; na maji nayo nunueni kwao kwa fedha, mpate kunywa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mkitaka chakula au maji kutoka kwao, lazima mnunue.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Chakula sharti mjinunulie kwao kwa fedha, mpate kula, nayo maji ya kunywa sharti myanunue kwao kwa fedha.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nunueni vyakula kwao kwa fedha, mpate kula; na maji nayo nunueni kwao kwa fedha, mpate kunywa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mukitaka chakula au maji kutoka kwao, munapaswa kununua.’