Deuteronomy 20:15 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ndivyo mtakavyoitendea miji yote ambayo iko mbali na nchi mtakayoimiliki.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hivi ndivyo mtakavyofanya kwa miji yote iliyo mbali nanyi, ambayo haimilikiwi na mataifa ya karibu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Utaifanyia vivyo miji yote iliyo mbali sana nawe, isiyokuwa miji ya mataifa haya.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ndivyo mtakavyoitendea miji yote ambayo iko mbali na nchi mtakayoimiliki.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hivi ndivyo mtakavyofanya kwa miji yote ambayo iko mbali nanyi, ambayo haimilikiwi na mataifa ya karibu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hivi ndivyo mtakavyofanya kwa miji yote ambayo iko mbali nanyi, ambayo haimilikiwi na mataifa ya karibu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Utaifanyia vivyo hivyo miji yote iliyo mbali sana nawe, isiyokuwa miji ya mataifa haya.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ndivyo mtakavyoitendea miji yote ambayo iko mbali na nchi mtakayoimiliki.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hivyo ndivyo, utakavyoifanyizia miji yote iliyoko mbali sana kutoka kwako, isiyo miongoni mwa miji ya wamizimu hawa wa huku.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Utaifanyia vivyo miji yote iliyo mbali sana nawe, isiyokuwa miji ya mataifa haya.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ndivyo mutakavyoitendea miji yote ambayo iko mbali na inchi mutakayorizi.