Deuteronomy 21:19 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
basi, mama na baba yake huyo mtoto watamchukua mlangoni mwa nyumba anamoishi na kumpeleka kwa wazee katika lango la mji.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
baba yake na mama yake watamleta kwa wazee kwenye lango la mji wake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ndipo babaye na mamaye na wamkamate, na kumpeleka kwa wazee wa mji wake, katika lango la mahali pake;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
basi, mama na baba yake huyo mtoto watamchukua mlangoni mwa nyumba anamoishi na kumpeleka kwa wazee katika lango la mji.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
baba yake na mama yake watamleta kwa wazee kwenye lango la mji wake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
baba yake na mama yake watamleta kwa wazee kwenye lango la mji wake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ndipo babaye na mamaye na wamkamate, na kumpeleka kwa wazee wa mji wake, katika lango la mahali pake;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
basi, mama na baba yake huyo mtoto watamchukua mlangoni mwa nyumba anamoishi na kumpeleka kwa wazee katika lango la mji.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
basi, baba yake na mama yake na wamkamate, wampeleke kwao wazee wa mji wao langoni pake,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ndipo babaye na mamaye na wamkamate, na kumpeleka kwa wazee wa mji wake, katika lango la mahali pake;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
basi, mama na baba ya huyo mutoto watamutwaa kumupeleka kwa wazee muji kwenye tribinali.