Deuteronomy 21:20 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wazazi hao watawaambia wazee wa mji: ‘Mtoto wetu ni mkaidi na mtundu, hataki kutusikiliza, ni mlafi na mlevi.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watawaambia wazee, “Huyu mwanetu ni mkaidi na mwasi. Hatutii sisi, yeye ni mpotovu na mlevi.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
wawaambie wazee wa mji wake, Huyu mwana wetu ni mkaidi, mshupavu, hasikizi sauti yetu; ni mwasherati, tena ni mlevi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wazazi hao watawaambia wazee wa mji: ‘Mtoto wetu ni mkaidi na mtundu, hataki kutusikiliza, ni mlafi na mlevi.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watawaambia wazee, “Huyu mwanetu ni mkaidi na mwasi. Hatutii sisi, yeye ni mpotovu na mlevi.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watawaambia wazee, “Huyu mwanetu ni mkaidi na mwasi. Hatutii sisi, yeye ni mpotovu na mlevi.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
wawaambie wazee wa mji wake, Huyu mwana wetu ni mkaidi, mshupavu, hasikizi sauti yetu; ni mwasherati, tena ni mlevi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wazazi hao watawaambia wazee wa mji: ‘Mtoto wetu ni mkaidi na mtundu, hataki kutusikiliza, ni mlafi na mlevi.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
wawaambie wazee: Huyu mwana wetu ni mtundu na mkatavu, hazisikii sauti zetu, ni mlafi na mnywaji.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
wawaambie wazee wa mji wake, Huyu mwana wetu ni mkaidi, mshupavu, hasikizi sauti yetu; ni mwasherati, tena ni mlevi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wazazi hao watawaambia wazee wa muji: ‘Mutoto wetu ni mwenye kiburi na mwasi, hataki kutusikiliza, ni mulafi na mulevi’.