Deuteronomy 21:22 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Kama mtu amefanya kosa la jinai linalompasa auawe na akauawa kwa kutundikwa mtini,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kama mtu ana hatia ya kosa linalompasa kuuawa naye akauawa, mwili wake utaangikwa mtini,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akiwa mtu ametenda dhambi ipasayo kufa, akauawa, nawe ukamtundika juu ya mti;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Kama mtu amefanya kosa la jinai linalompasa auawe na akauawa kwa kutundikwa mtini,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama mtu ana hatia ya kosa linalompasa kuuawa naye akauawa, mwili wake utaangikwa mtini,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama mtu ana hatia ya kosa linalompasa kuuawa naye akauawa, mwili wake utaangikwa mtini,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ikiwa mtu ametenda dhambi ipasayo kufa, akauawa, nawe ukamtundika juu ya mti;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Kama mtu amefanya kosa la jinai linalompasa auawe na akauawa kwa kutundikwa mtini,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Itakuwa, mtu aliyekora manza za kufa auawe, watu wakimtundika mtini.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akiwa mtu ametenda dhambi ipasayo kufa, akauawa, nawe ukamtundika juu ya mti;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Kama mutu amefanya kosa linalomupasa auawe na akiuawa kwa kutundikwa juu ya muti,