Deuteronomy 22:14 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
na kumshtaki kwamba ametenda mambo ya aibu, na kumharibia sifa kwa kusema kwamba hakupata ushahidi wa ubikira wakati alipomwoa,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
akimsingizia na kumwita jina baya, akisema, “Nilimwoa mwanamke huyu, lakini nilipomkaribia sikupata uthibitisho wa ubikira wake”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
kisha akamshitaki mambo ya aibu kumzushia jina baya, akasema, Nimemtwaa mwanamke huyu, nami nilipomkaribia sikuona kwake alama za ubikira;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
na kumshtaki kwamba ametenda mambo ya aibu, na kumharibia sifa kwa kusema kwamba hakupata ushahidi wa ubikira wakati alipomwoa,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
akimsingizia na kumwita jina baya, akisema, “Nilimwoa mwanamke huyu, lakini nilipomkaribia sikupata uthibitisho wa ubikira wake”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
akimsingizia na kumwita jina baya, akisema, “Nilimwoa mwanamke huyu, lakini nilipomkaribia sikupata uthibitisho wa ubikira wake”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kisha akamshitaki mambo ya aibu kumzushia jina baya, akasema, Nimemtwaa mwanamke huyu, nami nilipomkaribia sikuona kwake alama za ubikira;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
na kumshtaki kwamba ametenda mambo ya aibu, na kumharibia sifa kwa kusema kwamba hakupata ushahidi wa ubikira wakati alipomwoa,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo atamsingizia mambo ya uwongo, ampatie jina baya na kusema: Nimemwoa mwanamke huyu; lakini nilipoingia kwake sikumwona kuwa mwanamwali.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kisha akamshitaki mambo ya aibu kumzushia jina baya, akasema, Nimemtwaa mwanamke huyu, nami nilipomkaribia sikuona kwake alama za ubikira;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
na kumushitaki kwamba ametenda mambo ya haya, na kumuharibishia sifa yake kwa kusema kwamba hakukuwa bikira wakati alipomwoa,