Deuteronomy 22:15 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
basi, wazazi wa mwanamke huyo watachukua ushahidi wa ubikira wa binti yao kwa wazee kwenye lango la mji na kuwaambia,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ndipo baba na mama wa msichana wataleta uthibitisho kwamba alikuwa bikira kwa wazee wa mji kwenye lango.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ndipo babaye yule kijana na mamaye watakapotwaa alama za yule kijana za ubikira, wawatolee wazee wa mji langoni;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
basi, wazazi wa mwanamke huyo watachukua ushahidi wa ubikira wa binti yao kwa wazee kwenye lango la mji na kuwaambia,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ndipo baba na mama wa msichana wataleta uthibitisho kwamba alikuwa bikira kwa wazee wa mji kwenye lango.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ndipo baba na mama wa msichana wataleta uthibitisho kwamba alikuwa bikira kwa wazee wa mji kwenye lango.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ndipo babaye yule kijana na mamaye watakapotwaa alama za yule kijana za ubikira, wawatolee wazee wa mji langoni;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
basi, wazazi wa mwanamke huyo watachukua ushahidi wa ubikira wa binti yao kwa wazee kwenye lango la mji na kuwaambia,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Vitakapokuwa hivyo, babake na mamake yule msichana na wamchukue na kumpeleka kwa wazee wa mji huo langoni pake pamoja nayo yanayoweza kuujulisha uwanawali wake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ndipo babaye yule kijana na mamaye watakapotwaa alama za yule kijana za ubikira, wawatolee wazee wa mji langoni;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
basi, kama ikitokea hivyo, wazazi wa huyo binti watapeleka ushuhuda wa ubikira wa binti yao kwa wazee kwenye mulango wa muji na kuwaambia: