Deuteronomy 22:16 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
‘Tulimwoza binti yetu kwa mtu huyu, lakini sasa hamtaki tena,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baba wa msichana atawaambia wazee, “Nilimwoza binti yangu kwa huyu mwanaume, lakini hampendi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na baba yake yule kijana awaambie wazee, Mwanamume huyu nilimpa binti yangu awe mkewe, naye amchukia;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
‘Tulimwoza binti yetu kwa mtu huyu, lakini sasa hamtaki tena,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baba wa msichana atawaambia wazee, “Nilimwoza binti yangu kwa huyu mwanaume, lakini hampendi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baba wa msichana atawaambia wazee, “Nilimwoza binti yangu kwa huyu mwanaume, lakini hampendi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na baba yake yule kijana awaambie wazee, Mwanamume huyu nilimpa binti yangu awe mkewe, naye amchukia;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
‘Tulimwoza binti yetu kwa mtu huyu, lakini sasa hamtaki tena,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye babake yule msichana na awaambie wazee: Nimempa mwanangu mtu huyu kuwa mkewe, kisha akachukizwa naye;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na baba yake yule kijana awaambie wazee, Mwanamume huyu nilimpa binti yangu awe mkewe, naye amchukia;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
‘Tulimwoesha binti yetu huyu kwa mutu huyu, lakini sasa hamutaki tena,