Deuteronomy 22:24 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
mtawatoa wote wawili nje ya mji na kuwapiga mawe mpaka wafe. Msichana huyo lazima auawe kwa kuwa hakupiga kelele asaidiwe ingawa alikuwa mjini; naye mwanamume lazima auawe kwa kuwa amemchafua mchumba wa jirani yake. Ndivyo mtakavyokomesha uovu huo miongoni mwenu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
utawachukua wote wawili kwenye lango la mji na kuwapiga kwa mawe hadi wafe; yule msichana kwa kuwa alikuwa mjini na hakupiga yowe kuomba msaada, na yule mwanaume kwa sababu amemtenda jeuri mke wa mtu mwingine. Lazima mwondoe uovu kati yenu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
watoeni nje katika lango la mji ule, mkawapige kwa mawe hata wafe; yule kijana, kwa kuwa hakupiga ukelele, naye yu ndani ya mji; na yule mume, kwa kuwa amemtweza mke wa mwenzake; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
mtawatoa wote wawili nje ya mji na kuwapiga mawe mpaka wafe. Msichana huyo lazima auawe kwa kuwa hakupiga kelele asaidiwe ingawa alikuwa mjini; naye mwanamume lazima auawe kwa kuwa amemchafua mchumba wa jirani yake. Ndivyo mtakavyokomesha uovu huo miongoni mwenu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
utawachukua wote wawili kwenye lango la mji na kuwapiga kwa mawe mpaka wafe; yule msichana kwa kuwa alikuwa mjini na hakupiga kelele kuomba msaada, na yule mwanaume kwa sababu amemtenda jeuri mke wa mtu mwingine. Lazima mwondoe uovu katikati yenu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
utawachukua wote wawili kwenye lango la mji na kuwapiga kwa mawe mpaka wafe; yule msichana kwa kuwa alikuwa mjini na hakupiga kelele kuomba msaada, na yule mwanaume kwa sababu amemtenda jeuri mke wa mtu mwingine. Lazima mwondoe uovu katikati yenu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
watoeni nje katika lango la mji ule, mkawapige kwa mawe hata wafe; yule kijana, kwa kuwa hakupiga ukelele, naye yu ndani ya mji; na yule mume, kwa kuwa amemtweza mke wa mwenzake; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
mtawatoa wote wawili nje ya mji na kuwapiga mawe mpaka wafe. Msichana huyo lazima auawe kwa kuwa hakupiga kelele asaidiwe ingawa alikuwa mjini; naye mwanamume lazima auawe kwa kuwa amemchafua mchumba wa jirani yake. Ndivyo mtakavyokomesha uovu huo miongoni mwenu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
sharti mwapeleke wote wawili langoni pa mji huo, mwapige mawe, hata wafe, yule kijana wa kike, kwa kuwa hakupiga kelele mjini, naye yule mwanamume, kwa kuwa amemkorofisha mchumba wa mwenzake. Hivyo ndivyo, utakavyouondoa ubaya huo katikati yako.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
watoeni nje katika lango la mji ule, mkawapige kwa mawe hata wafe; yule kijana, kwa kuwa hakupiga ukelele, naye yu ndani ya mji; na yule mume, kwa kuwa amemtweza mke wa mwenzake; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
mutawatoa wote wawili inje ya muji na kuwapiga mawe mpaka wakufe. Binti huyo anapaswa kuuawa kwa sababu hakupiga kelele kusudi asaidiwe ingawa alikuwa ndani ya muji; naye mwanaume anapaswa kuuawa kwa sababu amemuchafua muchumba wa mwenzake. Ndivyo mutakavyokomesha uovu huo kati yenu.