Deuteronomy 23:10 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kama miongoni mwenu kuna mtu yeyote ambaye ni najisi kwa sababu ya kutokwa mbegu usiku, huyo atatoka nje ya kambi; hatakaa karibu na kambi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ikiwa mtu amechafuka kwa sababu ya kutokwa na shahawa usiku, inampasa atoke nje ya kambi na kukaa huko.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akiwa kwenu mtu awaye yote asiyekuwa ni tohara kwa ajili ya yaliyomtukia usiku, na atoke nje ya kituo, wala asiingie ndani ya kituo;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kama miongoni mwenu kuna mtu yeyote ambaye ni najisi kwa sababu ya kutokwa mbegu usiku, huyo atatoka nje ya kambi; hatakaa karibu na kambi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ikiwa mtu amechafuka kwa sababu ya kutokwa na shahawa usiku, inampasa atoke nje ya kambi na kukaa huko.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ikiwa mtu amechafuka kwa sababu ya kutokwa na shahawa usiku, inampasa atoke nje ya kambi na kukaa huko.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akiwa kwenu mtu awaye yote asiyekuwa ni tohara kwa ajili ya yaliyomtukia usiku, na atoke nje ya kituo, wala asiingie ndani ya kituo;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kama miongoni mwenu kuna mtu yeyote ambaye ni najisi kwa sababu ya kutokwa mbegu usiku, huyo atatoka nje ya kambi; hatakaa karibu na kambi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Atakapokuwako kwako mtu asiye mwenye kutakata kwa jambo lililompata na usiku, sharti atoke kwenda nje ya makambi, asiingie ndani ya makambi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akiwa kwenu mtu awaye yote asiyekuwa ni tohara kwa ajili ya yaliyomtukia usiku, na atoke nje ya kituo, wala asiingie ndani ya kituo;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Mukienda kwa vita, mukipiga kambi, kila mumoja afanye angalisho na kitu chochote kiovu.