Deuteronomy 23:11 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini ikifika jioni ataoga, na jua likitua anaweza kurudi kambini.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini jioni ikikaribia ataoga, na baada ya jua kuzama ataingia tena kambini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
lakini na iwe ikaribiapo jioni, yeye ataoga maji; na jua likiisha kuchwa ataingia ndani ya kituo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini ikifika jioni ataoga, na jua likitua anaweza kurudi kambini.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini jioni ikikaribia ataoga, na baada ya jua kuzama ataingia tena kambini.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini jioni ikikaribia ataoga, na baada ya jua kuzama ataingia tena kambini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
lakini na iwe ikaribiapo jioni, yeye ataoga maji; na jua likiisha kuchwa ataingia ndani ya kituo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini ikifika jioni ataoga, na jua likitua anaweza kurudi kambini.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Itakapokuwa saa ya jioni, ajiogeshe majini, kisha jua litakapokuchwa, aweza kuingia ndani ya makambi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
lakini na iwe ikaribiapo jioni, yeye ataoga maji; na jua likiisha kuchwa ataingia ndani ya kituo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kama kati yenu kuna mutu yeyote ambaye ni muchafu kwa sababu ya kutokwa mbegu usiku, huyo atatoka inje ya kambi; hatakaa karibu na kambi.