Deuteronomy 23:19 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Usimkopeshe ndugu yako Mwisraeli kitu kwa riba; usimtoze riba juu ya mkopo wa fedha, chakula, au chochote ambacho watu hukopesha kwa riba.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Usimtoze ndugu yako riba, iwe ni fedha ama chakula ama kitu kingine chochote ambacho unaweza kupata riba juu yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Usimkopeshe ndugu yako kwa riba; riba ya fedha, riba ya vyakula, riba ya kitu cho chote kikopeshwacho kwa riba;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Usimkopeshe ndugu yako Mwisraeli kitu kwa riba; usimtoze riba juu ya mkopo wa fedha, chakula, au chochote ambacho watu hukopesha kwa riba.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Usimtoze ndugu yako riba, iwe ni fedha ama chakula ama kitu kingine cho chote ambacho waweza kupata riba juu yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Usimtoze ndugu yako riba, iwe ni fedha ama chakula ama kitu kingine chochote ambacho waweza kupata riba juu yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Usimkopeshe ndugu yako kwa riba; riba ya fedha, riba ya vyakula, riba ya kitu chochote kikopeshwacho kwa riba;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Usimkopeshe ndugu yako Mwisraeli kitu kwa riba; usimtoze riba juu ya mkopo wa fedha, chakula, au chochote ambacho watu hukopesha kwa riba.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Usimkopeshe ndugu yako, ujipatie faida ya fedha au faida ya chakula au faida ya cho chote, watu wanachokikopeshea faida.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Usimkopeshe ndugu yako kwa riba; riba ya fedha, riba ya vyakula, riba ya kitu cho chote kikopeshwacho kwa riba;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Feza yoyote iliyopatikana na vitendo vya ukahaba huo, isipelekwe ndani ya hekalu la Yawe, Mungu wenu, kwa kulipia kiapo, maana mwanaume au mwanamuke anayekuwa kahaba wa kidini ni chukizo kwa Yawe.