Deuteronomy 24:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kama yeye ni maskini usikae na rehani hiyo usiku kucha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ikiwa mtu huyo ni maskini, usiende kulala ukiwa na hiyo rehani yake katika milki yako.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye akiwa ni mtu maskini, usilale na rehani yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kama yeye ni maskini usikae na rehani hiyo usiku kucha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ikiwa mtu huyo ni maskini, usiende kulala ukiwa na hiyo rehani yake katika milki yako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ikiwa mtu huyo ni maskini, usiende kulala ukiwa na hiyo rehani yake katika milki yako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye akiwa ni mtu maskini, usilale na rehani yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kama yeye ni maskini usikae na rehani hiyo usiku kucha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye kama ni mtu mnyonge, usilale na rehani yake,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye akiwa ni mtu maskini, usilale na rehani yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kama yeye ni masikini usikae na rehani hiyo usiku kucha.