Deuteronomy 24:14 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Usimdhulumu kibarua maskini na mhitaji, awe Mwisraeli au mmoja wa wageni wanaoishi katika miji yenu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Usimwonee mtu maskini na mhitaji ambaye umemwajiri, akiwa ni nduguyo Mwisraeli au mgeni anayeishi katika mojawapo ya miji yenu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Usimwonee mtumishi mwenye ujira aliye maskini na uhitaji, kama ni wa nduguzo, au kama ni wageni wako mmojawapo walio katika nchi yako, ndani ya malango yako;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Usimdhulumu kibarua maskini na mhitaji, awe Mwisraeli au mmoja wa wageni wanaoishi katika miji yenu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Usimwonee mtu maskini na mhitaji ambaye umemwajiri, akiwa ni nduguyo Mwisraeli au mgeni anayeishi katika mojawapo ya miji yenu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Usimwonee mtu maskini na mhitaji ambaye umemwajiri, akiwa ni nduguyo Mwisraeli au mgeni anayeishi katika mojawapo ya miji yenu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Usimwonee mtumishi mwenye ujira aliye maskini na uhitaji, kama ni wa nduguzo, au kama ni wageni wako mmojawapo walio katika nchi yako, ndani ya malango yako;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Usimdhulumu kibarua maskini na mhitaji, awe Mwisraeli au mmoja wa wageni wanaoishi katika miji yenu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Usimkorofishe mtu wa kazi aliye mkiwa na mkosefu wa mali, kama ni wa ndugu zako au mmojawapo wa wageni watakaokaa katika nchi yako malangoni pako,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Usimwonee mtumishi mwenye ujira aliye maskini na uhitaji, kama ni wa nduguzo, au kama ni wageni wako mmojawapo walio katika nchi yako, ndani ya malango yako;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Usimutese mutumishi wako wa mushahara anayekuwa masikini na muhitaji, akuwe Mwisraeli au mumoja wa wageni wanaoishi katika miji yenu.