Deuteronomy 24:17 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Msipotoshe haki za wageni na yatima. Wala msichukue vazi la mjane kuwa rehani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Usipotoshe hukumu ya mgeni au yatima, au kuchukua vazi la mjane kama rehani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Usipotoshe hukumu ya mgeni, wala ya yatima; wala usitwae mavazi ya mjane, yawe rehani;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Msipotoshe haki za wageni na yatima. Wala msichukue vazi la mjane kuwa rehani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Usipotoshe hukumu ya mgeni au yatima, au kuchukua vazi la mjane kama rehani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Usipotoshe hukumu ya mgeni au yatima, au kuchukua vazi la mjane kama rehani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Usipotoshe hukumu ya mgeni, wala ya yatima; wala usitwae mavazi ya mjane, yawe rehani;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Msipotoshe haki za wageni na yatima. Wala msichukue vazi la mjane kuwa rehani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Usipotoe shauri la mgeni wala la mwana aliyefiwa na wazazi, wala mjane usimtoze nguo yake kuwa rehani!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Usipotoshe hukumu ya mgeni, wala ya yatima; wala usitwae mavazi ya mjane, yawe rehani;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Musipotoshe haki za wageni na wayatima. Wala musitwae nguo ya mujane kuwa rehani.