Deuteronomy 24:21 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mnapochuma zabibu, msirudi kuokota zabibu zilizobaki ila waachieni wageni, yatima na wajane.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Unapochuma zabibu katika shamba lako la mizabibu usirudie tena. Acha zinazobaki kwa ajili ya mgeni, yatima na mjane.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Uchumapo zabibu katika shamba lako la mizabibu, usichume mara ya pili; zilizobaki apewe mgeni, na yatima, na mjane.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mnapochuma zabibu, msirudi kuokota zabibu zilizobaki ila waachieni wageni, yatima na wajane.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Unapochuma zabibu katika shamba lako la mizabibu usirudie tena. Acha zinazobaki kwa ajili ya mgeni, yatima na mjane.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Unapochuma zabibu katika shamba lako la mizabibu usirudie tena. Acha zinazobaki kwa ajili ya mgeni, yatima na mjane.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Uchumapo zabibu katika shamba lako la mizabibu, usichume mara ya pili; zilizobaki apewe mgeni, na yatima, na mjane.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mnapochuma zabibu, msirudi kuokota zabibu zilizobaki ila waachieni wageni, yatima na wajane.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Utakapochuma mizabibuni kwako, usiirudie mizabibu kuiokoteza. Na iwe ya mgeni au ya mwana aliyefiwa na wazazi au ya mjane.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Uchumapo zabibu katika shamba lako la mizabibu, usichume mara ya pili; zilizobaki apewe mgeni, na yatima, na mjane.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Munapochuma zabibu, musirudi kuokota zabibu zilizobaki lakini muwaachie wageni, wayatima na wajane.