Deuteronomy 25:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Wanaume wawili wakipigana na mke wa mmoja wao akamsaidia mumewe kwa kumkamata sehemu za siri yule anayepigana na mumewe,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ikiwa watu wawili wanapigana na mke wa mmoja wao akaja kumwokoa mumewe na yule anayemshambulia, naye mke huyo akifika na kumkamata sehemu za siri,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Washindanapo waume wao kwa wao, akakaribia mke wa mmojawapo, ili kumwokoa mumewe katika mkono wa ampigaye, yule mke akatoa mkono wake, na kumkamata tupu yake;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Wanaume wawili wakipigana na mke wa mmoja wao akamsaidia mumewe kwa kumkamata sehemu za siri yule anayepigana na mumewe,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ikiwa watu wawili wanapigana na mke wa mmoja wao akaja kumwokoa mumewe na yule anayemshambulia, naye mke huyo akifika na kumkamata sehemu za siri,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ikiwa watu wawili wanapigana na mke wa mmoja wao akaja kumwokoa mumewe na yule anayemshambulia, naye mke huyo akifika na kumkamata sehemu za siri,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wapiganapo wanaume wao kwa wao, akakaribia mke wa mmojawapo, ili kumwokoa mumewe katika mkono wa ampigaye, yule mke akatoa mkono wake, na kumkamata tupu yake;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Wanaume wawili wakipigana na mke wa mmoja wao akamsaidia mumewe kwa kumkamata sehemu za siri yule anayepigana na mumewe,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Watu wawili walio ndugu wakipigana, naye mkewe mmoja wao akaja kumponya mumewe mkononi mwake anayempiga, akaupeleka mkono wake na kumkamata penye soni,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Washindanapo waume wao kwa wao, akakaribia mke wa mmojawapo, ili kumwokoa mumewe katika mkono wa ampigaye, yule mke akatoa mkono wake, na kumkamata tupu yake;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Wanaume wawili wakipigana na muke wa mumoja wao akimusaidia mume wake kwa kumukamata sehemu za siri yule anayepigana na mume wake,