Deuteronomy 25:13 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Msiwe na vipimo vya kupimia vya namna mbili: Kimoja kizito na kingine chepesi. Msitumie mizani za udanganyifu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Usiwe na mawe ya kupimia ya aina mbili katika mkoba wako, moja zito na jingine jepesi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Usiwe na mawe ya kupimia mbalimbali, kubwa na dogo, katika mfuko wako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Msiwe na vipimo vya kupimia vya namna mbili: kimoja kizito na kingine chepesi. Msitumie mizani za udanganyifu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Usiwe na mawe ya kupimia ya aina mbili katika mkoba wako, moja zito na jingine jepesi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Usiwe na mawe ya kupimia ya aina mbili katika mkoba wako, moja zito na jingine jepesi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Usiwe na mawe ya kupimia mbalimbali, kubwa na dogo, katika mfuko wako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Msiwe na vipimo vya kupimia vya namna mbili: Kimoja kizito na kingine chepesi. Msitumie mizani za udanganyifu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mfukoni mwako usiwe na vyuma vya kupimia vya namna mbili, vikubwa na vidogo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Usiwe na mawe ya kupimia mbalimbali, kubwa na dogo, katika mfuko wako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Musikuwe na vipimo vya kupimia vya namna mbili: kimoja kizito na kingine chepesi. Musitumie mizani za udanganyifu.