Deuteronomy 28:19 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtalaaniwa mnapoingia na mnapotoka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Utalaaniwa uingiapo na utokapo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Utalaaniwa uingiapo, utalaaniwa na utokapo,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtalaaniwa mnapoingia na mnapotoka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Utalaaniwa uingiapo na utokapo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Utalaaniwa uingiapo na utokapo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Utalaaniwa uingiapo, utalaaniwa na utokapo,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtalaaniwa mnapoingia na mnapotoka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Utakuwa umeapizwa wewe utakapoingia, tena utakuwa umeapizwa wewe utakapotoka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Utalaaniwa uingiapo, utalaaniwa na utokapo,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutalaaniwa munapoingia na munapotoka.