Deuteronomy 28:6 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtabarikiwa mnaporudi nyumbani na mnapotoka nje.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Utabarikiwa uingiapo na utabarikiwa utokapo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Utabarikiwa uingiapo, utabarikiwa na utokapo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtabarikiwa mnaporudi nyumbani na mnapotoka nje.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Utabarikiwa uingiapo na utabarikiwa utokapo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Utabarikiwa uingiapo na utabarikiwa utokapo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Utabarikiwa uingiapo, utabarikiwa na utokapo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtabarikiwa mnaporudi nyumbani na mnapotoka nje.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Utakuwa umebarikiwa wewe utakapoingia, tena utakuwa umebarikiwa wewe utakapotoka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Utabarikiwa uingiapo, utabarikiwa na utokapo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutabarikiwa munaporudi kwa nyumba na munapotoka inje.