Deuteronomy 3:27 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Panda mpaka kilele cha mlima Pisga, utazame vizuri upande wa magharibi, kaskazini, kusini na mashariki, na kuiona nchi hiyo; ila wewe hutavuka huu mto wa Yordani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwea juu ya kilele cha Pisga uangalie magharibi, kaskazini, kusini na mashariki. Iangalie hiyo nchi kwa macho yako, kwa vile wewe hutavuka Yordani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwea katika kilele cha Pisga ukainue macho yako upande wa magharibi, na kaskazini, na kusini, na mashariki, ukatazame kwa macho yako, kwa maana huuvuki mto huu wa Yordani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Panda mpaka kilele cha mlima Pisga, utazame vizuri upande wa magharibi, kaskazini, kusini na mashariki, na kuiona nchi hiyo; ila wewe hutavuka huu mto wa Yordani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwea juu ya kilele cha Pisga uangalie magharibi, kaskazini, kusini na mashariki. Iangalie hiyo nchi kwa macho yako, kwa vile wewe hutavuka Yordani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwea juu ya kilele cha Pisga uangalie magharibi, kaskazini, kusini na mashariki. Iangalie hiyo nchi kwa macho yako, kwa vile wewe hutavuka Yordani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwea katika kilele cha Pisga ukainue macho yako upande wa magharibi, na kaskazini, na kusini, na mashariki, ukatazame kwa macho yako, kwa maana huuvuki mto huu wa Yordani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Panda mpaka kilele cha mlima Pisga, utazame vizuri upande wa magharibi, kaskazini, kusini na mashariki, na kuiona nchi hiyo; ila wewe hutavuka huu mto wa Yordani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Panda juu mlimani kwa Pisiga, uyainue macho yako na kuyaelekeza upande wa baharini na wa kaskazini na wa kusini na wa maawioni kwa jua, uitazame hiyo nchi kwa macho yako. Kwani hutauvuka mto huu wa Yordani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwea katika kilele cha Pisga ukainue macho yako upande wa magharibi, na kaskazini, na kusini, na mashariki, ukatazame kwa macho yako, kwa maana huuvuki mto huu wa Yordani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Panda mpaka kwenye kilele cha mulima Pisiga, uangalie vizuri upande wa magaribi, kaskazini, kusini na mashariki, na kuiona inchi hiyo; lakini wewe hautavuka huu muto Yordani.