Deuteronomy 3:4 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tuliiteka miji yake yote; hakuna hata mji mmoja ambao hatukuuteka. Jumla tuliiteka miji sitini, yaani eneo lote la Argobu ambalo lilitawaliwa na mfalme Ogu wa Bashani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakati huo tuliteka miji yake yote. Hakuna mji hata mmoja kati ya ile sitini ambao hatukuuteka, yaani eneo lote la Argobu, utawala wa Mfalme Ogu katika Bashani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tukatwaa miji yake yote wakati huo; hapakuwa na mji tusiotwaa kwao miji sitini, nchi yote ya Argobu, ndio ufalme wa Ogu ulio katika Bashani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tuliiteka miji yake yote; hakuna hata mji mmoja ambao hatukuuteka. Jumla tuliiteka miji sitini, yaani eneo lote la Argobu ambalo lilitawaliwa na mfalme Ogu wa Bashani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakati huo tuliteka miji yake yote. Hakuna mji hata mmoja kati ya ile sitini ambao hatukuuteka, yaani eneo lote la Argobu, utawala wa Mfalme Ogu katika Bashani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakati huo tuliteka miji yake yote. Hakuna mji hata mmoja kati ya ile sitini ambao hatukuuteka, yaani eneo lote la Argobu, utawala wa Mfalme Ogu katika Bashani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tukatwaa miji yake yote wakati huo; hapakuwa na mji tusiotwaa kwao miji sitini, nchi yote ya Argobu, ndio ufalme wa Ogu ulio katika Bashani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tuliiteka miji yake yote; hakuna hata mji mmoja ambao hatukuuteka. Jumla tuliiteka miji sitini, yaani eneo lote la Argobu ambalo lilitawaliwa na mfalme Ogu wa Bashani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tukaiteka miji yake yote siku hizo, haukuwako mji kwao, tusiouchukua: miji 60 nacho hicho kipande kizima cha Argobu, ndio ufalme wote wa Ogiwa Basani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tukatwaa miji yake yote wakati huo; hapakuwa na mji tusiotwaa kwao miji sitini, nchi yote ya Argobu, ndio ufalme wa Ogu ulio katika Bashani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tukateka miji yake yote; hakuna hata muji mumoja ambao hatukuuteka. Kwa jumla tuliteka miji makumi sita, ni kusema eneo lote la Argobu ambalo lilitawaliwa na mufalme Ogi wa Basani.