Deuteronomy 3:6 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tuliteketeza kila kitu huko, tukaharibu kila mji na kuua wanaume, wanawake na watoto kama tulivyofanya katika miji ya mfalme Sihoni wa Heshboni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tuliwaangamiza kabisa, kama tulivyomfanyia Sihoni mfalme wa Heshboni, tukiangamiza kila mji, yaani wanaume, wanawake na watoto.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tukaiharibu kabisa, kama tulivyomfanya huyo Sihoni, mfalme wa Heshboni, kwa kuharibu kabisa kila mji uliokuwa na watu, pamoja na wanawake na watoto.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tuliteketeza kila kitu huko, tukaharibu kila mji na kuua wanaume, wanawake na watoto kama tulivyofanya katika miji ya mfalme Sihoni wa Heshboni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tuliwaangamiza kabisa, kama tulivyomfanyia Sihoni mfalme wa Heshboni, tukiangamiza kila mji, yaani wanaume, wanawake na watoto.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tuliwaangamiza kabisa, kama tulivyomfanyia Sihoni mfalme wa Heshboni, tukiangamiza kila mji, yaani wanaume, wanawake na watoto.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tukaiharibu kabisa, kama tulivyomfanya huyo Sihoni, mfalme wa Heshboni, kwa kuharibu kabisa kila mji uliokuwa na wanaume, wanawake na watoto.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tuliteketeza kila kitu huko, tukaharibu kila mji na kuua wanaume, wanawake na watoto kama tulivyofanya katika miji ya mfalme Sihoni wa Heshboni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tukawatia mwiko wa kuwapo, kama tulivyomfanyizia Sihoni, mfalme wa Hesiboni, tulipowatia mwiko wa kuwapo wote pia waliokuwamo mijini, wanawaume na wanawake na watoto.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tukaiharibu kabisa, kama tulivyomfanya huyo Sihoni, mfalme wa Heshboni, kwa kuharibu kabisa kila mji uliokuwa na watu, pamoja na wanawake na watoto.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tuliteketeza kila kitu huko, tukaharibu kila muji na kuua wanaume, wanawake na watoto kama vile tulivyofanya katika miji ya mufalme Sihoni wa Hesiboni.