Deuteronomy 31:26 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Chukueni kitabu hiki cha sheria, mkiweke karibu na sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, ili kiwe ushahidi dhidi yenu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Chukueni Kitabu hiki cha Torati mkakiweke kando ya Sanduku la Agano la Mwenyezi Mungu, Mungu wenu. Hapo ndipo kitakapokaa kama shahidi dhidi yenu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Twaeni chuo hiki cha torati, mkiweke kando ya sanduku la agano la Bwana, Mungu wenu, ili kiwepo kama shahidi juu yako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Chukueni kitabu hiki cha sheria, mkiweke karibu na sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, ili kiwe ushahidi dhidi yenu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Chukueni Kitabu hiki cha Sheria mkakiweke kando ya Sanduku la Agano la BWANA Mungu wenu. Hapo ndipo kitakapokaa kama shahidi dhidi yenu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Chukueni Kitabu hiki cha Torati mkakiweke kando ya Sanduku la Agano la bwana Mwenyezi Mungu wenu. Hapo ndipo kitakapokaa kama shahidi dhidi yenu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Twaeni kitabu hiki cha torati, mkiweke kando ya sanduku la Agano la BWANA, Mungu wenu, ili kiwepo kama shahidi juu yako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Chukueni kitabu hiki cha sheria, mkiweke karibu na sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, ili kiwe ushahidi dhidi yenu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kichukueni kitabu cha Maonyo haya, mkiweke kando ndani ya Sanduku la Agano la Bwana Mungu wenu, kiwe humo ndani shahidi wako!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Twaeni chuo hiki cha torati, mkiweke kando ya sanduku la agano la BWANA, Mungu wenu, ili kiwepo kama shahidi juu yako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Mutwae kitabu hiki cha sheria, mukiweke karibu na Sanduku la Agano la Yawe, Mungu wenu, kusudi kikuwe ushuhuda juu yenu.