Deuteronomy 32:29 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wangekuwa na hekima wangejua kwa nini walishindwa, wangeweza kuelewa mwisho wao utakuwaje.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Laiti wangekuwa na hekima wangefahamu hili, na kutambua mwisho wao utakuwaje!
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Laiti wangekuwa na akili, hata wakafahamu haya, Ili watafakari mwisho wao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wangekuwa na hekima wangejua kwa nini walishindwa, wangeweza kuelewa mwisho wao utakuwaje.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Laiti wangekuwa na hekima wangefahamu hili, na kutambua mwisho wao utakuwa aje!
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Laiti wangekuwa na hekima wangefahamu hili, na kutambua mwisho wao utakuwa aje!
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Laiti wangekuwa na akili, hata wakafahamu haya, Ili watafakari mwisho wao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wangekuwa na hekima wangejua kwa nini walishindwa, wangeweza kuelewa mwisho wao utakuwaje.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kama wangekuwa werevu wa kweli, wangeijua maana yao haya, wangeutambua nao mwisho utakaowapata wenyewe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Laiti wangekuwa na akili, hata wakafahamu haya, Ili watafakari mwisho wao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wangekuwa na hekima wangejua kwa nini walishindwa, wangeweza kuelewa mwisho wao utakuwa namna gani.