Deuteronomy 33:22 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Juu ya kabila la Dani alisema hivi: “Dani ni mwanasimba arukaye kutoka Bashani.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kuhusu Dani akasema: “Dani ni mwana simba, akiruka kutoka Bashani.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na Dani akamnena, Dani ni mwana-simba, Arukaye kutoka Bashani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Juu ya kabila la Dani alisema hivi: “Dani ni mwanasimba arukaye kutoka Bashani.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kuhusu Dani akasema: “Dani ni mwana simba, akiruka kutoka Bashani.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kuhusu Dani akasema: “Dani ni mwana simba, akiruka kutoka Bashani.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na Dani akamnena, Dani ni mwanasimba, Arukaye kutoka Bashani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Juu ya kabila la Dani alisema hivi: “Dani ni mwanasimba arukaye kutoka Bashani.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye Dani akamwambia: Dani ni mwana mchanga wa simba, hushambulia na kutoka Basani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na Dani akamnena, Dani ni mwana-simba, Arukaye kutoka Bashani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Juu ya kabila la Dani akasema hivi: “Dani ni mwana-simba anayeruka kutoka Basani.”