Deuteronomy 33:6 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mose alisema juu ya kabila la Reubeni: “Reubeni aishi wala asife, na watu wake wasiwe wachache.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Reubeni na aishi, asife, wala watu wake wasiwe wachache.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Reubeni na aishi, asife; Lakini watu wake na wawe wachache.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mose alisema juu ya kabila la Reubeni: “Reubeni aishi wala asife, na watu wake wasiwe wachache.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Reubeni na aishi, asife, wala watu wake wasiwe wachache.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Reubeni na aishi, asife, wala watu wake wasiwe wachache.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Reubeni na aishi, asife; Lakini watu wake na wawe wachache.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mose alisema juu ya kabila la Reubeni: “Reubeni aishi wala asife, na watu wake wasiwe wachache.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Rubeni na awepo uzimani, asife, ijapo watu wake wahesabike.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Reubeni na aishi, asife; Lakini watu wake na wawe wachache.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Musa akasema juu ya kabila la Rubeni: “Rubeni aishi wala asikufe, na watu wake wasikuwe wachache.”