Deuteronomy 7:10 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini huwalipa wanavyostahili wale wanaomchukia, wala hatasita kuwaadhibu wanaomchukia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini kwa wale wanaomchukia atawalipiza kwenye nyuso zao kwa maangamizi; hatachelewa kuwalipiza kwenye nyuso zao wale wamchukiao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
naye huwalipa wamchukiao mbele ya uso wao, kuwaangamiza. Hatakuwa mlegevu kwake yeye amchukiaye, atamlipa mbele ya uso wake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini huwalipa wanavyostahili wale wanaomchukia, wala hatasita kuwaadhibu wanaomchukia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini kwa wale wanaomchukia atawalipiza kwenye nyuso zao kwa maangamizi; hatachelewa kuwalipiza kwenye nyuso zao wale wamchukiao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini kwa wale wanaomchukia atawalipiza kwenye nyuso zao kwa maangamizi; hatachelewa kuwalipiza kwenye nyuso zao wale wamchukiao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
naye huwalipa wamchukiao mbele ya uso wao, kuwaangamiza. Hatakuwa mlegevu kwake yeye amchukiaye, atamlipa mbele ya uso wake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini huwalipa wanavyostahili wale wanaomchukia, wala hatasita kuwaadhibu wanaomchukia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini wao wamchukiao huwalipisha waziwazi na kuwaangamiza, hakawii kumlipisha waziwazi amchukiaye.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
naye huwalipa wamchukiao mbele ya uso wao, kuwaangamiza. Hatakuwa mlegevu kwake yeye amchukiaye, atamlipa mbele ya uso wake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini hatasita kuwaazibu wale wanaomuchukia.