Deuteronomy 8:10 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtakula na kushiba, mtamshukuru Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, kwa nchi nzuri aliyowapa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtakapokwisha kula na kushiba, msifuni Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, kwa ajili ya nchi nzuri aliyowapa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nawe utakula ushibe, utamshukuru Bwana, Mungu wako, kwa nchi nzuri aliyokupa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtakula na kushiba, mtamshukuru Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, kwa nchi nzuri aliyowapa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakati mtakapokwisha kula na kushiba, msifuni BWANA Mungu wenu kwa ajili ya nchi nzuri aliyowapa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakati mtakapokwisha kula na kushiba, msifuni bwana Mwenyezi Mungu wenu kwa ajili ya nchi nzuri aliyowapa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nawe utakula ushibe, utamshukuru BWANA, Mungu wako, kwa nchi nzuri aliyokupa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtakula na kushiba, mtamshukuru Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, kwa nchi nzuri aliyowapa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo utakapokula na kushiba sharti umtukuze Bwana Mungu wako kwa ajili ya nchi hiyo njema, aliyokupa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nawe utakula ushibe, utamshukuru BWANA, Mungu wako, kwa nchi nzuri aliyokupa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutakula na kushiba, mutamushukuru Yawe, Mungu wenu, kwa inchi nzuri aliyowapa.