Deuteronomy 8:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mkisha kula mkashiba, mkajijengea nyumba nzuri na kuishi humo,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Angalia wakati mtakapokuwa mmekula na kushiba, mkajenga nyumba nzuri na kukaa humo,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Angalia, utakapokuwa umekula na kushiba, na kujenga nyumba nzuri na kukaa ndani yake;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mkisha kula mkashiba, mkajijengea nyumba nzuri na kuishi humo,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Angalia wakati mtakapokuwa mmekula na kushiba, mkajenga nyumba nzuri na kukaa humo,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Angalia wakati mtakapokuwa mmekula na kushiba, mkajenga nyumba nzuri na kukaa humo,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Angalia, utakapokuwa umekula na kushiba, na kujenga nyumba nzuri na kukaa ndani yake;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mkisha kula mkashiba, mkajijengea nyumba nzuri na kuishi humo,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hapo, utakapokula na kushiba, tena utakapojenga nyumba nzuri na kukaa humo,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Angalia, utakapokuwa umekula na kushiba, na kujenga nyumba nzuri na kukaa ndani yake;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mukisha kula na kushiba, kujijengea nyumba nzuri na kuishi humo,