Deuteronomy 8:6 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hivyo, shikeni amri za Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, mpate kuzifuata njia zake na kumcha yeye.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Shikeni maagizo ya Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, mtembee katika njia zake na kumheshimu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nawe uzishike amri za Bwana, Mungu wako, upate kwenda katika njia zake, na kumcha.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hivyo, shikeni amri za Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, mpate kuzifuata njia zake na kumcha yeye.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Shikeni maagizo ya BWANA Mungu wenu mtembee katika njia zake na kumheshimu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Shikeni maagizo ya bwana Mwenyezi Mungu wenu mtembee katika njia zake na kumheshimu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nawe uzishike amri za BWANA, Mungu wako, upate kwenda katika njia zake, na kumcha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hivyo, shikeni amri za Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, mpate kuzifuata njia zake na kumcha yeye.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo yaangalie maagizo ya Bwana Mungu wako, upate kuzishika njia zake na kumcha.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nawe uzishike amri za BWANA, Mungu wako, upate kwenda katika njia zake, na kumcha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hivyo, mushike amri za Yawe, Mungu wenu, mupate kufuata njia zake na kumwogopa yeye.