Ecclesiastes 1:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hakuna mtu anayekumbuka ya zamani wala atakayekumbuka yatakayotukia baadaye.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hakuna kumbukumbu ya watu wa zamani, hata na wale ambao hawajaja bado hawatakumbukwa na wale watakaofuata baadaye.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hakuna kumbukumbu lo lote la vizazi vilivyotangulia; wala hakutakuwa na kumbukumbu lo lote la vizazi vitakavyokuja, miongoni mwao wale watakaofuata baadaye.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hakuna mtu anayekumbuka ya zamani wala atakayekumbuka yatakayotukia baadaye.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hakuna kumbukumbu ya watu wa zamani, hata na wale ambao hawajaja bado hawatakumbukwa na wale watakaofuata baadaye.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hakuna kumbukumbu ya watu wa zamani, hata na wale ambao hawajaja bado hawatakumbukwa na wale watakaofuata baadaye.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hakuna kumbukumbu lolote la vizazi vilivyotangulia; wala hakutakuwa na kumbukumbu lolote la vizazi vitakavyokuja, miongoni mwao wale watakaofuata baadaye.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hakuna mtu anayekumbuka ya zamani wala atakayekumbuka yatakayotukia baadaye.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ni hivyo tu, wa kwanza hawakumbukwi, vivyo nao wa nyuma watakaokuwako hawatakumbukwa kwao watakaokuwako nyuma yao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hakuna kumbukumbu lo lote la vizazi vilivyotangulia; wala hakutakuwa na kumbukumbu lo lote la vizazi vitakavyokuja, miongoni mwao wale watakaofuata baadaye.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hakuna mutu anayekumbuka mambo ya zamani, wala atakayekumbuka yatakayotukia kisha.