Ecclesiastes 1:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mimi Mhubiri, nilikuwa mfalme wa Israeli, huko Yerusalemu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mimi, Mhubiri, nilikuwa mfalme wa Israeli katika Yerusalemu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mimi, Mhubiri, nalikuwa Mfalme wa Israeli katika Yerusalemu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mimi Mhubiri, nilikuwa mfalme wa Israeli, huko Yerusalemu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mimi, Mhubiri, nilikuwa mfalme katika Yerusalemu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mimi, Mhubiri, nilikuwa mfalme wa Israeli katika Yerusalemu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mimi, Mhubiri, nilikuwa Mfalme wa Israeli katika Yerusalemu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mimi Mhubiri, nilikuwa mfalme wa Israeli, huko Yerusalemu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mimi Mpiga mbiu nilikuwa mfalme wa Isiraeli huko Yerusalemu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mimi, Mhubiri, nalikuwa Mfalme wa Israeli katika Yerusalemu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mimi Muhubiri, nilikuwa mufalme wa Israeli, kule Yerusalema.