Ecclesiastes 1:18 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana katika kuwa na hekima nyingi mna wasiwasi; na aongezaye maarifa zaidi huongeza huzuni zaidi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa kuwa hekima nyingi huleta huzuni kubwa; maarifa yanapoongezeka, masikitiko yanaongezeka.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yaani,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana katika kuwa na hekima nyingi mna wasiwasi; na aongezaye maarifa zaidi huongeza huzuni zaidi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa kuwa hekima nyingi huleta huzuni kubwa; maarifa yanapoongezeka, masikitiko yanaongezeka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa kuwa hekima nyingi huleta huzuni kubwa; maarifa yanapoongezeka, masikitiko yanaongezeka.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yaani, Katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni; Naye aongezaye maarifa huongeza masikitiko.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana katika kuwa na hekima nyingi mna wasiwasi; na aongezaye maarifa zaidi huongeza huzuni zaidi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani werevu mwingi ulipo, yapo nayo masikitiko mengi, naye aongoezaye ujuzi huongeza nayo maumivu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yaani, Katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni; Naye aongezaye maarifa huongeza masikitiko.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Maana katika kuwa na hekima nyingi kuna wasiwasi; na anayeongeza maarifa zaidi anaongeza huzuni zaidi.