Ecclesiastes 10:11 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nyoka akiuma kabla hajachochewa, mchochezi hahitajiki tena.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nyoka akiuma kabla ya kuchezeshwa, mchezeshaji hatahitajika tena.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nyoka akiuma asijatumbuizwa, Basi hakuna faida ya mtumbuizi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nyoka akiuma kabla hajachochewa, mchochezi hahitajiki tena.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama nyoka akiuma kabla ya kufanyiwa uaguzi, mwaguzi hatahitajika tena.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama nyoka akiuma kabla ya kufanyiwa uaguzi, mwaguzi hatahitajika tena.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nyoka akiuma kabla hajachezeshwa, Basi hakuna faida ya mchezeshaji.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nyoka akiuma kabla hajachochewa, mchochezi hahitajiki tena.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nyoka akiuma mtu, akiwa hajatabanwa, bado, basi, mwenye kutabana hanacho, anachokipata.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nyoka akiuma asijatumbuizwa, Basi hakuna faida ya mtumbuizi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nyoka ya muchawi ikiuma mbele haijachochewa, hakuna faida tena kwa muchawi.