Ecclesiastes 10:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maneno ya mwenye hekima humnufaisha asemaye; lakini midomo ya mpumbavu humwangamiza.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Maneno yanayotoka kinywani mwa mtu mwenye hekima yana neema, bali mpumbavu huangamizwa na midomo yake mwenyewe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maneno ya kinywa chake mwenye hekima yana neema; Bali midomo ya mpumbavu itammeza nafsi yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maneno ya mwenye hekima humnufaisha asemaye; lakini midomo ya mpumbavu humwangamiza.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Maneno yatokayo kinywani mwa mtu mwenye hekima yana neema, bali mpumbavu huangamizwa na midomo yake mwenyewe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Maneno yatokayo kinywani mwa mtu mwenye hekima yana neema, bali mpumbavu huangamizwa na midomo yake mwenyewe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maneno ya kinywa chake mwenye hekima yana neema; Bali midomo ya mpumbavu itammeza nafsi yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maneno ya mwenye hekima humnufaisha asemaye; lakini midomo ya mpumbavu humwangamiza.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Maneno ya kinywa chake mwerevu wa kweli hupendeza, lakini midomo ya mjinga hummeza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maneno ya kinywa chake mwenye hekima yana neema; Bali midomo ya mpumbavu itammeza nafsi yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Maneno ya mwenye hekima yanamupa upendeleo; lakini maneno ya mupumbafu yanamwangamiza.