Ecclesiastes 12:10 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mhubiri alijitahidi kupata maneno ya kupendeza, akaandika kwa ufasaha maneno ya kweli.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mhubiri alitafiti ili kupata maneno sahihi na kila alichoandika kilikuwa sawa na kweli.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Huyo Mhubiri akatafuta-tafuta ili apate kuona maneno yapendezayo, na yale yaliyoandikwa kwa unyofu, yaani, maneno ya kweli.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mhubiri alijitahidi kupata maneno ya kupendeza, akaandika kwa ufasaha maneno ya kweli.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mhubiri alitafiti ili kupata maneno sahihi na kila alichoandika kilikuwa sawa na kweli.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mhubiri alitafiti ili kupata maneno sahihi na kila alichoandika kilikuwa sawa na kweli.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Huyo Mhubiri akachunguza ili apate kuona maneno yapendezayo, na yale yaliyoandikwa kwa unyofu, yaani, maneno ya kweli.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mhubiri alijitahidi kupata maneno ya kupendeza, akaandika kwa ufasaha maneno ya kweli.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yeye mpiga mbiu alitafuta, aone maneno yapendezayo; nayo maneno yaliyokuwa ya kweli, yaliyoongoka, yakaandikwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Huyo Mhubiri akatafuta-tafuta ili apate kuona maneno yapendezayo, na yale yaliyoandikwa kwa unyofu, yaani, maneno ya kweli.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Muhubiri alijikaza kupata maneno ya kupendeza, akaandika kwa usawa maneno ya kweli.