Ecclesiastes 3:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Najua kwamba, kwa binadamu, liko jambo moja tu la kumfaa; kufurahi na kujifurahisha muda wote aishipo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ninajua kwamba hakuna kitu bora kwa wanadamu kuliko kuwa na furaha na kutenda mema wakati wanapoishi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mimi najua ya kwamba hakuna jema kwao kupita kufurahi, na kufanya mema maadamu wanaishi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Najua kwamba, kwa binadamu, liko jambo moja tu la kumfaa; kufurahi na kujifurahisha muda wote aishipo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ninajua kwamba hakuna kitu bora kwa wanadamu kuliko kuwa na furaha na kutenda mema wakati wanapoishi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ninajua kwamba hakuna kitu bora kwa wanadamu kuliko kuwa na furaha na kutenda mema wakati wanapoishi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mimi najua ya kwamba hakuna jema kwao kupita kufurahi, na kufanya mema maadamu wanaishi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Najua kwamba, kwa binadamu, liko jambo moja tu la kumfaa; kufurahi na kujifurahisha muda wote aishipo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, nilipojua, ya kuwa hakuna lililo jema kwao kuliko kufurahi na kufanya mema siku zao za kuwapo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mimi najua ya kwamba hakuna jema kwao kupita kufurahi, na kufanya mema maadamu wanaishi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ninajua kwamba, kwa mwanadamu, kuna jambo moja tu la kumufalia: kufurahi na kujifurahisha kwa muda wote anapoishi.