Ecclesiastes 3:13 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Sote inatupasa kula na kunywa na kufurahia matunda ya kazi zetu. Hayo ni majaliwa ya Mungu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tena ni karama ya Mungu kila mtu apate kula na kunywa na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena ni karama ya Mungu kila mtu apate kula na kunywa, na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Sote inatupasa kula na kunywa na kufurahia matunda ya kazi zetu. Hayo ni majaliwa ya Mungu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tena ni karama ya Mungu kila mtu apate kula na kunywa na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tena ni karama ya Mungu kila mtu apate kula na kunywa na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena ni karama ya Mungu kila mtu apate kula na kunywa, na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Sote inatupasa kula na kunywa na kufurahia matunda ya kazi zetu. Hayo ni majaliwa ya Mungu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Haya nayo nikayajua, ya kuwa kwake kila mtu apataye kula na kunywa na kuona mema kwa masumbuko yake, hiki nacho ni kipaji cha Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena ni karama ya Mungu kila mtu apate kula na kunywa, na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kama mwanadamu anakula na kunywa na kufurahia matunda ya jasho yake, hayo ni majaliwa ya Mungu.