Ecclesiastes 3:9 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mfanyakazi hufaidi nini kutokana na juhudi zake hizo?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mfanyakazi anapata faida gani kutokana na taabu yake?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Je! Mtendaji anayo faida gani katika yale anayojishughulisha nayo?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mfanyakazi hufaidi nini kutokana na juhudi zake hizo?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mfanyakazi anapata faida gani kutokana na taabu yake?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mfanyakazi anapata faida gani kutokana na taabu yake?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Je! Mtendaji anayo faida gani katika yale anayojishughulisha nayo?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mfanyakazi hufaidi nini kutokana na juhudi zake hizo?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Afanyaye kazi analo pato gani kwa kusumbuka kwake?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Je! Mtendaji anayo faida gani katika yale anayojishughulisha nayo?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mufanya kazi anafaidia nini kutokana na jasho aliyotoa?