Ecclesiastes 4:14 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
hata ikiwa alikuwa mfungwa na sasa ni mfalme, au alizaliwa maskini na sasa ni mfalme.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kijana huyo angeweza kutokea gerezani akapata ufalme, au angeweza kuwa amezaliwa katika umaskini kwenye huo ufalme.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana kutoka gerezani alikuja kumiliki; naam, hata katika ufalme wake alizaliwa hali ya umaskini.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
hata ikiwa alikuwa mfungwa na sasa ni mfalme, au alizaliwa maskini na sasa ni mfalme.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kijana huyo angeweza kutokea gerezani akapata ufalme, au angeweza kuwa amezaliwa katika umaskini kwenye huo ufalme.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kijana huyo angeweza kutokea gerezani akapata ufalme, au angeweza kuwa amezaliwa katika umaskini kwenye huo ufalme.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana anaweza kutoka gerezani kutawala; hata ikiwa alizaliwa akiwa maskini katika ufalme.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
hata ikiwa alikuwa mfungwa na sasa ni mfalme, au alizaliwa maskini na sasa ni mfalme.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani itakuwa, yule atoke kifungoni, apate ufalme, naye aliyezaliwa katika ufalme wake awe mkiwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana kutoka gerezani alikuja kumiliki; naam, hata katika ufalme wake alizaliwa hali ya umaskini.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
hata ikiwa alikuwa mufungwa na sasa ni mufalme, au alizaliwa masikini na sasa ni mufalme.