Ecclesiastes 6:4 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtoto mfu hafaidiki chochote kwa kuzaliwa; yeye hutokomea gizani, akasahaulika.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kuzaliwa kwake hakuna maana, huondokea gizani na gizani jina lake hufunikwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
yaani, hiyo huja katika ubatili, na huenda gizani, nalo jina lake limefunikwa giza;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtoto mfu hafaidiki chochote kwa kuzaliwa; yeye hutokomea gizani, akasahaulika.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kuzaliwa kwake hakuna maana, huondokea gizani na gizani jina lake hufunikwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kuzaliwa kwake hakuna maana, huondokea gizani na gizani jina lake hufunikwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
yaani, hiyo huja katika ubatili, na huenda gizani, nalo jina lake limefunikwa giza;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtoto mfu hafaidiki chochote kwa kuzaliwa; yeye hutokomea gizani, akasahaulika.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani huyo mtoto huja kama si kitu, huenda gizani, nalo jina lake limo gizani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
yaani, hiyo huja katika ubatili, na huenda gizani, nalo jina lake limefunikwa giza;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutoto mufu anakuja kwa bure naye anarudi katika giza, na kusahaulika.