Ecclesiastes 6:7 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kazi yote ya mtu ni kwa ajili ya kupata chakula, lakini tamaa yake ya kula haitoshelezwi kamwe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Juhudi zote za binadamu ni kwa ajili ya kinywa chake, hata hivyo hamu yake kamwe haitoshelezwi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kazi yote ya binadamu ni kwa kinywa chake, Walakini hata hivyo nafsi yake hashibi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kazi yote ya mtu ni kwa ajili ya kupata chakula, lakini tamaa yake ya kula haitoshelezwi kamwe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Juhudi zote za binadamu ni kwa ajili ya kinywa chake, hata hivyo hamu yake kamwe haitoshelezwi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Juhudi zote za binadamu ni kwa ajili ya kinywa chake, hata hivyo hamu yake kamwe haitoshelezwi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Juhudi zote za binadamu ni kwa kinywa chake, Lakini hamu yake haitosheleki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kazi yote ya mtu ni kwa ajili ya kupata chakula, lakini tamaa yake ya kula haitoshelezwi kamwe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Masumbuko yote ya mtu ni ya kukijaza kinywa chake, lakini hivyo roho yake haishibi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kazi yote ya binadamu ni kwa kinywa chake, Walakini hata hivyo nafsi yake hashibi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu anatoa jasho kwa ajili ya kupata chakula, lakini tamaa yake ya kula haitoshelezwi hata kidogo.