Ecclesiastes 7:20 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hakika, hakuna mtu mwadilifu duniani atendaye mema daima bila kutenda dhambi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hakuna mtu mwenye haki duniani ambaye hufanya mambo ya haki na kamwe asitende dhambi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Bila shaka hakuna mwanadamu mwenye haki hapa duniani, ambaye afanya mema, asifanye dhambi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hakika, hakuna mtu mwadilifu duniani atendaye mema daima bila kutenda dhambi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hakuna mtu mwenye haki duniani ambaye hufanya mambo ya haki na kamwe asitende dhambi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hakuna mtu mwenye haki duniani ambaye hufanya mambo ya haki na kamwe asitende dhambi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Bila shaka hakuna mwanadamu mwenye haki hapa duniani, atendaye mema pasipo kutenda dhambi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hakika, hakuna mtu mwadilifu duniani atendaye mema daima bila kutenda dhambi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani huku nchini hakuna mtu mwongofu afanyaye mema tu pasipo kukosa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Bila shaka hakuna mwanadamu mwenye haki hapa duniani, ambaye afanya mema, asifanye dhambi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hakika, hakuna mutu wa haki katika dunia anayetenda vizuri siku zote bila kutenda zambi.