Ecclesiastes 8:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa vile uovu haupatilizwi haraka, mioyo ya wanadamu hupania kutenda mabaya.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakati hukumu juu ya tendo ovu haitekelezwi upesi, mioyo ya watu hujaa mipango ya kutenda maovu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa sababu hukumu juu ya tendo baya haitekelezwi upesi, mioyo ya wanadamu huthibitishwa ndani yao ili kutenda mabaya.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa vile uovu haupatilizwi haraka, mioyo ya wanadamu hupania kutenda mabaya.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakati hukumu juu ya tendo ovu haitekelezwi upesi, mioyo ya watu hujaa mipango ya kutenda maovu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakati hukumu juu ya tendo ovu haitekelezwi upesi, mioyo ya watu hujaa mipango ya kutenda maovu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa sababu hukumu juu ya tendo baya haitekelezwi upesi, mioyo ya wanadamu huthibitishwa ndani yao ili kutenda mabaya.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa vile uovu haupatilizwi haraka, mioyo ya wanadamu hupania kutenda mabaya.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa kuwa patilizo la tendo baya halitimizwi upesi, kwa hiyo mioyo ya wana wa Adamu huzidi kufanya mabaya;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa sababu hukumu juu ya tendo baya haitekelezwi upesi, mioyo ya wanadamu huthibitishwa ndani yao ili kutenda mabaya.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa vile uovu hauazibiwi haraka, mioyo ya wanadamu inakusudia kutenda mabaya.