Ecclesiastes 8:2 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tii amri ya mfalme, kwa sababu ya kiapo chako kitakatifu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nawaambia, Tii amri ya mfalme, kwa sababu uliapa mbele za Mungu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mimi nasema hivi, Uishike amri ya mfalme; na hiyo kwa sababu umeapa kwa Mungu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tii amri ya mfalme, kwa sababu ya kiapo chako kitakatifu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nawaambia, Tii amri ya mfalme, kwa sababu uliapa mbele za Mungu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nawaambia, Tii amri ya mfalme, kwa sababu uliapa mbele za Mungu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mimi nasema hivi, Uishike amri ya mfalme; na hiyo kwa sababu umeapa kwa Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tii amri ya mfalme, kwa sababu ya kiapo chako kitakatifu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mimi husema: Kiangalie kinywa cha mfalme, kwa kuwa uliapa na kumtaja Mungu!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mimi nasema hivi, Uishike amri ya mfalme; na hiyo kwa sababu umeapa kwa Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mimi ninasema hivi: tii amri ya mufalme. Kwa sababu ya kiapo chako kitakatifu, usikate tamaa.