Ephesians 1:20 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
aliyomfufua nayo Kristo kutoka kwa wafu, akamketisha upande wake wa kulia mbinguni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
aliyoitumia katika Al-Masihi alipomfufua kutoka kwa wafu, na kumketisha mkono wake wa kuume katika ulimwengu wa roho,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
aliotenda katika Kristo alipomfufua katika wafu, akamweka mkono wake wa kuume katika ulimwengu wa roho;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
alizotumia kumfufua Kristo kutoka kwa wafu na kumweka akae upande wa kulia wa kiti chake cha enzi huko mbinguni.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
aliyomfufua nayo Kristo kutoka wafu, akamketisha kulia kwake mbinguni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
aliyomfufua nayo Kristo kutoka kwa wafu, akamketisha upande wake wa kulia mbinguni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ambayo aliitumia alipomfufua Kristo kutoka kwa wafu, akamketisha mkono wake wa kuume katika mbingu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
aliyoitumia katika Al-Masihi alipomfufua kutoka kwa wafu, na akamketisha mkono wake wa kuume huko mbinguni,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
aliotenda katika Kristo alipomfufua katika wafu, akamweka katika mkono wake wa kulia katika ulimwengu wa roho;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
aliyomfufua nayo Kristo kutoka kwa wafu, akamketisha upande wake wa kulia mbinguni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndizo, alizozitumia alipomfufua Kristo katika wafu na kumketisha kuumeni kwake mbinguni
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
aliotenda katika Kristo alipomfufua katika wafu, akamweka mkono wake wa kuume katika ulimwengu wa roho;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Alifanya vile wakati alipomufufua Kristo na kumwikalisha na mamlaka kwa kuume kwake mbinguni.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
aliyotenda katika Kristo alipomfufua, akamweka mkono wake wa kuume katika mbingu,