Ephesians 2:9 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wala halitokani na matendo yenu wenyewe, asije mtu akajivunia kitu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
si kwa matendo, ili mtu yeyote asije akajisifu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Msijisifu kwa kuwa hamkuokolewa kutokana na matendo yenu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wala halitokani na matendo yenu wenyewe, asije mtu akajivunia kitu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wala halitokani na matendo yenu wenyewe, asije mtu akajivunia kitu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
si kwa matendo, ili mtu awaye yote asije akajisifu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
si kwa matendo, ili mtu yeyote asije akajisifu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wala halitokani na matendo yenu wenyewe, asije mtu akajivunia kitu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
nacho hamkukipata kwa kazi zenu, mtu asipate kujivuna.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Si kwa matendo yenu, kusudi mutu asipate kujivuna.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
wala si kwa matendo, asije mtu awae yote akajisifu.